Now a Kenyan citizen is used as a decoy in the kidnapping of Dr Scandle

All Kenyan should be behind your fellow.Deplore massive online campaign .................................................................................. Waandishi Wetu SERIKALI ya Kenya imesema inazifanyia kazi taarifa za raia wake kukamatwa na kufikishwa kortini nchini kwa tuhuma za kumteka na kufanya jaribio la kumuua Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari Tanzania, Dk Steven Ulimboka. Hatua hiyo imekuja siku moja baada ya Jeshi la Polisi kutangaza kukamatwa na kufikishwa mahakamani kwa raia wa Kenya, Joshua Mulundi anayetuhumiwa kuhusika na tukio la kumteka, kumpiga na kumtupa Dk Ulimboka katika Pori la Akiba la Pande nje kidogo ya Jiji la Dar <http://www.jamiiforums.com/> es Salaam hivi karibuni. Balozi wa Kenya nchini, Mutinda Mutiso, alisema kwa njia ya simu jijini Dar es Salaam jana kuwa Serikali yake itachunguza uraia na tuhuma zinazomkabili mtu huyo ili kubaini ukweli. “Ndiyo kwanza nimewasili kutoka nje ya nchi…, nitafuatilia kwa makini kupata taarifa sahihi kutoka kwenye vyanzo sahihi na mamlaka husika za hapa Tanzania na Kenya ili kupata taarifa ya kweli,” alisema Balozi Mutiso na kuongeza: “Siwezi kueleza zaidi kwa sasa kwani itakuwa naeleza uvumi.” *MAT wadai kutoridhishwa* Wakati Balozi wa Kenya akisema hayo, Chama cha Madaktari Tanzania (MAT), kimeelezea kutoridhishwa na hatua hiyo kikisisitiza msimamo wake wa kutaka kuundwa kwa tume huru ya uchunguzi kwa lengo la kuwabaini wahusika na kuchukuliwa hatua stahiki. MAT pia imesema kwamba, inaendelea na mpango wake wa kuandamana, ikibainisha kuwa kesho itawasilisha barua ya kuomba kibali cha kufanya maandamano ya amani Polisi. Imefafanua kuwa malengo ya maandamano hayo yaliyopigwa 'stop' na polisi kwa kile walichoeleza ni sababu mbalimbali za kiusalama na kwamba, madai mengi ya madaktari yamefanyiwa kazi na Serikali. "Nisingependa kuingilia suala la kipolisi kwa ujumla wake, lakini moja ya madai yetu ni kuundwa kwa tume huru ya kuchunguza tukio la kutekwa, kupigwa na kutupwa katika Msitu wa Pande kwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari Dk Ulimboka," Katibu Mkuu wa (MAT) Dk Rodrick Kabangila aliliambia Mwananchi Jumapili jana. *TUCTA nao wamo* Katika hatua nyingine, Shirikisho la Vyama Vya Wafanyakazi (Tucta) limelipongeza Jeshi la Polisi kwa kumkamata mtu anayedaiwa kumteka na kumpiga kiongozi wa mgomo wa madaktari, Dk Steven Ulimboka. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu wa Tucta, Nicolaus Mgaya alisema kuwa, hatua ya kumkamata mtuhumiwa huyo inaleta matumaini ya kuwabaini watu wengine waliohusika na vitendo hivyo, jambo ambalo linaweza kurahisisha uchunguzi. Alisema kutokana na hali hiyo, jeshi hilo linatakiwa kuendelea na uchunguzi ili waweze kuwabaini wahusika wengine na kubaini ukweli kuhusu tukio hilo ambalo limesababisha kutokea kwa hisia tofauti katika jamii. “Tunaliomba Jeshi la Polisi liendelee na uchunguzi ili waweze kuwabaini watuhumiwa wengine na kuwachukulia hatua za kisheria,” alisema Mgaya. *Mkenya kukamatwa* Joshua Mulundi, ambaye anatuhumiwa kumteka na kumtesa Dk Ulimboka alikamatwa na kupandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam juzi alasiri na kusomewa mashtaka mawili na Wakili wa Serikali, Ladslaus Komanya. Wakili Komanya alidai mahakamani hapo kuwa, Mulundi ambaye makazi yake ni Murang'a nchini Kenya mnamo Juni 26, mwaka huu akiwa eneo la Leaders Club alimteka Dk Ulimboka. Hata hivyo, kumetokea utata wa jina, umri wake na makazi ya mtuhumiwa huyo. Wakati hati ya mashtaka mahakamani inasema ni Joshua Mulundi mwenye umri wa miaka 21, mkazi wa Murang’a nchini Kenya, taarifa ya Jeshi la Polisi imesema anaitwa Joshua Mahindi mwenye miaka 31 na mkazi wa Namanga nchini Kenya. Katika shtaka la pili, Wakili Komanya alidai kuwa tarehe hiyohiyo mshtakiwa alifanya jaribio la kumsababishia kifo Dk Ulimboka kwa kumpiga katika eneo la Msitu wa Pande eneo la Tegeta jijini Dar es Salaam, kinyume cha sheria. Hata hivyo, mshtakiwa huyo alikana mashtaka hayo akidai kuwa makosa aliyoshtakiwa nayo siyo sahihi. Hakimu Mkazi, Agnes Mchome alimwambia kuwa hatakiwi kujibu chochote kwa kuwa mahakama hiyo haina mamlaka ya kusikiliza shauri hilo, isipokuwa Mahakama Kuu pekee. *Afya ya Dk Ulimboka yazidi kuimarika* Akizungumzia hali ya Afya ya Dk Ulimboka anayeendelea na matibabu nchini Afrika Kusini, Katibu Mkuu huyo wa MAT alisema kuwa, Mwenyekiti huyo wa Jumuiya ya Madaktari Tanzania anaendelea vizuri na sasa ameanza kufanya mazoezi ya kutembea. "Taarifa tulizonazo sasa ni kwamba, hali ya Dk Ulimboka inaendelea vizuri. Ameanza kufanya mazoezi ya kutembea mwenyewe, anakula na pia anaweza kuzungumza vizuri. Amekuwa akifanya mawasiliano yeye mwenyewe na madaktari wenzake wa hapa nchini ingawa bado kuna matibabu anayoendelea nayo," alisema Dk Kabangila. Mmoja wa Madaktari wa karibu wa Dk Ulimboka aliyepo nchini, alisema Mwenyekiti huyo wa Jumuiya ya Madaktari Tanzania amewatumia ujumbe wa kuwashukuru wanataaluma wenzake na Watanzania wote waliomchangia na kumwezesha kupata matibabu nchini humo. Hata hivyo alisema kuwa, Dk Ulimboka ameomba suala la tukio lake la kutekwa na kuumizwa lisiwe hoja ya kujadili, badala yake madaktari na wananchi wote wajielekeze kudai haki zao, ambazo Serikali haijazipa kipaumbele. Dk Ulimboka alisafirishwa nje ya nchi Juni 30 kwa ajili ya matibabu kufuatia jopo la madaktari lililokuwa likimtibu likiongozwa na Profesa Joseph Kahamba kudai afya yake imebadilika ghafla na pia angestahili kupelekwa nje ya nchi kwa ajili ya vipimo na matibabu zaidi ambayo hayapatikani hapa nchini.

I didn't know it was so hard to read long articles in Swahili.

Same here; its like trying to decipher a coded hieroglyphs from a lost language. The mind was struggling. So i did this: Our Writers Government of Kenya has said reports of civilian labor inazifanyia his arrest and appearance in court on charges of capture and make an attempt to assassinate the chairman of Community Doctors in Tanzania, Dr Steven Simba. The move came one day after police announce the arrest and taken to court by a citizen of Kenya, Joshua Mulundi who is accused of involvement in the event of capture, beat him and threw him Dr Simba in a game reserves of parties outside the City of Dar es Salaam recently . Ambassador of Kenya in, Mutinda Mutiso, said by phone in Dar es Salaam yesterday that the government will investigate allegations of citizenship and encounters the person to identify the truth. "Yes I have just arrived from abroad ... I will monitor carefully to get accurate information from sources accurate and relevant authorities here in Tanzania and Kenya in order to find the truth," said Ambassador Mutiso, adding: "I can not explain more now because it puts speculation. " MAT creditors reservations While the Kenyan Ambassador saying this, Medical Association of Tanzania (MAT), reveals reservations of this move kikisisitiza its position to the creation of an independent commission of inquiry in order to identify the characters and action are eligible. MAT also said that, continues with its plan to protest, noting that tomorrow will submit a letter requesting permission to do peaceful protests police. Imefafanua become targets of these protests yaliyopigwa 'stop' and the police for what they have mentioned are various reasons for security and that demands a lot of doctors have been subjected to work with the Government. "I would not want to intervene the issue of policing in general, but one of our concerns is the establishment of an independent commission to investigate the abduction event, beaten and thrown in the Forest of parties to the Chairman of Community Physicians Dr Simba," the Secretary General (MAT), Dr Rodrick Kabangila Sunday told The Citizen yesterday. TUCTA they are In other action, the Federation of Trade Unions (TUCTA) limelipongeza Police arrest man for allegedly beating capture and leader of the strike by doctors, Dr. Steven Simba. Speaking in Dar es Salaam yesterday, Secretary General of TUCTA, Nicolaus Mgaya said that, step arrest suspect brings hope to identify other people involved and the actions, which may facilitate the investigation. He said given the situation, the host should continue the investigation in order to identify other players and find out the truth about the incident which resulted from a different feeling in the community. "Tunaliomba Police continue the investigation in order to identify other suspects and consider them legal action," said Mgaya. Kenyan arrested Mulundi Joshua, who is accused of capture and arrest Dr Simba was arrested and promotion to the dock in Kisutu Resident Magistrate Court in Dar es Salaam yesterday afternoon and read to two charges and the Crown attorney, Ladslaus Komanya. Komanya attorney claimed in court that that it is Mulundi Murang'a who settled in Kenya in June 26 this year at the Leaders Club area was enslaved Dr Simba. However, controversy has happened to the name, age and residence of the suspect. While the court indictment says is Joshua Mulundi 21 years old, a resident of Murang'a in Kenya, Police reports said she called Jack Maize 31 years old resident in Kenya Namanga. In the second indictment, lawyer Komanya claimed that on the same defendant made an attempt to causing the death of Dr Simba beat in the area of forest around the area of Tegeta in Dar es Salaam, illegal. However, defendant denied the charges claiming that he was wrong yoshtakiwa it wrong. Resident Magistrate, Agnes Mchome told him that he should not answer anything that the court has no jurisdiction to hear this case, unless the High Court only. Dr Simba exceed health improvement Referring to the Health of Dr Simba who is undergoing treatment in South Africa, Secretary General of the MAT he said that, the Chairman of Community Doctors in Tanzania is progressing well and now he began to practice walking. "The information we have now is that, while Dr Simba is progressing well. Ameanza to practice walking himself, eats and can speak well. He has performed communication for herself and the doctors fellow country although there are still treatment is headed down," said Dr Kabangila . One of the Doctors of the close of Dr Simba was sitting in, said the chairman of Community Doctors in Tanzania has sent a message to thank his fellow professionals and all those contributing to the Tanzanians to get treatment in the country. However he said that Dr Simba has requested the issue of his abduction incident and move the debate should not be hurt, instead of doctors and all citizens wajielekeze claim their rights, which the Government is not ijazipa priority. Dr Simba was transported out of the country on June 30 following treatment for a panel of doctors was led by Professor Joseph likimtibu Kahamba claim his health suddenly changed and he would deserve to be sent abroad for further tests and treatment that is unavailable locally.

Google translate +1. i can forgive "MAT wadai kutorodhishwa" = "MAT creditors reservations" for its convenience On Mon, Jul 16, 2012 at 11:43 AM, ndungu stephen <ndungustephen@gmail.com>wrote:
Same here; its like trying to decipher a coded hieroglyphs from a lost language. The mind was struggling. So i did this:
Our Writers
Government of Kenya has said reports of civilian labor inazifanyia his arrest and appearance in court on charges of capture and make an attempt to assassinate the chairman of Community Doctors in Tanzania, Dr Steven Simba.
The move came one day after police announce the arrest and taken to court by a citizen of Kenya, Joshua Mulundi who is accused of involvement in the event of capture, beat him and threw him Dr Simba in a game reserves of parties outside the City of Dar es Salaam recently .
Ambassador of Kenya in, Mutinda Mutiso, said by phone in Dar es Salaam yesterday that the government will investigate allegations of citizenship and encounters the person to identify the truth.
"Yes I have just arrived from abroad ... I will monitor carefully to get accurate information from sources accurate and relevant authorities here in Tanzania and Kenya in order to find the truth," said Ambassador Mutiso, adding: "I can not explain more now because it puts speculation. "
MAT creditors reservations While the Kenyan Ambassador saying this, Medical Association of Tanzania (MAT), reveals reservations of this move kikisisitiza its position to the creation of an independent commission of inquiry in order to identify the characters and action are eligible.
MAT also said that, continues with its plan to protest, noting that tomorrow will submit a letter requesting permission to do peaceful protests police.
Imefafanua become targets of these protests yaliyopigwa 'stop' and the police for what they have mentioned are various reasons for security and that demands a lot of doctors have been subjected to work with the Government.
"I would not want to intervene the issue of policing in general, but one of our concerns is the establishment of an independent commission to investigate the abduction event, beaten and thrown in the Forest of parties to the Chairman of Community Physicians Dr Simba," the Secretary General (MAT), Dr Rodrick Kabangila Sunday told The Citizen yesterday.
TUCTA they are In other action, the Federation of Trade Unions (TUCTA) limelipongeza Police arrest man for allegedly beating capture and leader of the strike by doctors, Dr. Steven Simba. Speaking in Dar es Salaam yesterday, Secretary General of TUCTA, Nicolaus Mgaya said that, step arrest suspect brings hope to identify other people involved and the actions, which may facilitate the investigation. He said given the situation, the host should continue the investigation in order to identify other players and find out the truth about the incident which resulted from a different feeling in the community. "Tunaliomba Police continue the investigation in order to identify other suspects and consider them legal action," said Mgaya. Kenyan arrested Mulundi Joshua, who is accused of capture and arrest Dr Simba was arrested and promotion to the dock in Kisutu Resident Magistrate Court in Dar es Salaam yesterday afternoon and read to two charges and the Crown attorney, Ladslaus Komanya.
Komanya attorney claimed in court that that it is Mulundi Murang'a who settled in Kenya in June 26 this year at the Leaders Club area was enslaved Dr Simba.
However, controversy has happened to the name, age and residence of the suspect.
While the court indictment says is Joshua Mulundi 21 years old, a resident of Murang'a in Kenya, Police reports said she called Jack Maize 31 years old resident in Kenya Namanga.
In the second indictment, lawyer Komanya claimed that on the same defendant made an attempt to causing the death of Dr Simba beat in the area of forest around the area of Tegeta in Dar es Salaam, illegal.
However, defendant denied the charges claiming that he was wrong yoshtakiwa it wrong.
Resident Magistrate, Agnes Mchome told him that he should not answer anything that the court has no jurisdiction to hear this case, unless the High Court only.
Dr Simba exceed health improvement Referring to the Health of Dr Simba who is undergoing treatment in South Africa, Secretary General of the MAT he said that, the Chairman of Community Doctors in Tanzania is progressing well and now he began to practice walking.
"The information we have now is that, while Dr Simba is progressing well. Ameanza to practice walking himself, eats and can speak well. He has performed communication for herself and the doctors fellow country although there are still treatment is headed down," said Dr Kabangila .
One of the Doctors of the close of Dr Simba was sitting in, said the chairman of Community Doctors in Tanzania has sent a message to thank his fellow professionals and all those contributing to the Tanzanians to get treatment in the country.
However he said that Dr Simba has requested the issue of his abduction incident and move the debate should not be hurt, instead of doctors and all citizens wajielekeze claim their rights, which the Government is not ijazipa priority.
Dr Simba was transported out of the country on June 30 following treatment for a panel of doctors was led by Professor Joseph likimtibu Kahamba claim his health suddenly changed and he would deserve to be sent abroad for further tests and treatment that is unavailable locally.
_______________________________________________ Skunkworks mailing list Skunkworks@lists.my.co.ke ------------ List info, subscribe/unsubscribe http://lists.my.co.ke/cgi-bin/mailman/listinfo/skunkworks ------------
Skunkworks Rules http://my.co.ke/phpbb/viewtopic.php?f=24&t=94 ------------ Other services @ http://my.co.ke

Kutoridhishwa can also mean 'held reservations' But that one for 'creditors' is a fail [?]
participants (4)
-
Kinpro Computers-All IT soutions
-
ndungu stephen
-
Philip Musyoki
-
steven maina